Wednesday, December 19, 2012

Job cum business opportunity for Agronomists

Ndugu zangu, Kampuni ya Ujerumani imeniomba nimtafute mtaalamu wa kilimo (yaani Agronomist) mwenye kuanzia shahada ya kilimo ambaye anafanya shughuli zake kibiashara, kajiajiri na yuko dynamic enough ili awe kuwa mwakilishi wao hapa Tanzania kwenye biashara na huduma ya tiba za mimea na kilimo kwa ujumla. Ofisi za kanda ziko Addis Ababa, Ethiopia na nyingine Nairobi, Kenya. Age limit ni below 45 years. Kwa yeyote mwenye sifa hizo au ambaye anamjua mtu mwenye sifa hizi naomba atume CV yake mapema iwezekanavyo kwa E-mail: geoffrey.mwambe@gmail.com

No comments:

Post a Comment