Friday, November 09, 2012

Wanakusini mna maoni gani kuhusu maamuzi ya Serikali kusafirisha gesi ya Songosongo (Kilwa, Lindi) na sasa Mnazi Bay (Mtwara) hadi Dar es Salaam na baadae Tanga kwa kufulia umeme, kutumika majumbani na kujengea viwanda vya mbolea?
Tafadhali tunaomba maoni yako ya dhati kwenye hili kwa ustawi wa wananchi maskini wa Lindi na Mtwara.

No comments:

Post a Comment