Friday, May 11, 2012

Baada ya Kimya Kirefu hatimaye JK Ateua Wakuu Wapya wa Wilaya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete amewateua wakuu wapya 70 na kuwabakiza wa zamani 63 kuongoza wilaya 133 nchini ikiwa ni mwaka mmoja na miezi sita baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa 2010. Katika uteuzi huo ambao majina ya wateuliwa yalitangazwa na Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akiambatana na Waziri wa TAMISEMI Mh. Hawa Ghasia na Naibu wake Mh. Aggrey Mwanri, Rais ameteua vijana wa kike na wa kiume kadhaa wenye umri chini ya miaka 35 ikiwa ni moja ya mkakati wa CCM na Serikali kurithisha vizazi uongozi wa nchi. Katika uteuzi huo, majina kadhaa ya walioanguka kwenye uchaguzi uliopita katika ngazi ya ubunge na wataalamu mbali mbali wakiwemo madaktari wa binadamu. Katika uteuzi huo ambao umewaacha nje wakuu wa wilaya wa zamani 51, umeshuhudia karibu wilaya mpya 19 zikiundwa. Orodha kamiliya walioteuliwa ni kama ifuatavyo: 1. Novatus Makunga Hai 2. Mboni M. Mgaza Mkinga 3. Hanifa M. Selungu Sikonge 4. Christine S. Mndeme Hanang 5. Shaibu I. Ndemanga Mwanga 6. Chrispin T. Meela Rungwe 7. Dr. Nasoro Ali Hamidi Lindi 8. Farida S. Mgomi Masasi 9. Jeremba D. Munasa Arumeru 10. Majid Hemed Mwanga Lushoto 11 Mrisho Gambo Korogwe 12. Elias C. J. Tarimo Kilosa 13. Alfred E. Msovella Kiteto 14. Dkt. Leticia M. Warioba Iringa 15. Dkt. Michael Yunia Kadeghe Mbozi 16. Mrs. Karen Yunus Sengerema 17. Hassan E. Masala Kilombero 18. Bituni A. Msangi Nzega 19. Ephraem Mfingi Mmbaga Liwale 20. Antony J. Mtaka Mvomero 21. Herman Clement Kapufi Same 22. Magareth Esther Malenga Kyela 23. Chande Bakari Nalicho Tunduru 24. Fatuma H. Toufiq Manyoni 25. Seleman Liwowa Kilindi 26. Josephine R. Matiro Makete 27. Gerald J. Guninita Kilolo 28. Senyi S. Ngaga Mbinga 29. Mary Tesha Ukerewe 30. Rodrick Mpogolo Chato 31. Christopher Magala Newala 32. Paza T. Mwamlima Mpanda 33. Richard Mbeho Biharamulo 34. Jacqueline Liana Magu 35. Joshua Mirumbe Bunda 36. Constantine J. Kanyasu Ngara 37. Yahya E. Nawanda Iramba 38. Ulega H. Abadallah Kilwa 39. Paul Mzindakaya Busega (mpya) 40. Festo Kiswaga Nanyumbu 41. Wilman Kapenjama Ndile Mtwara 42. Joseph Joseph Mkirikiti Songea 43. Ponsiano Nyami Tandahimba 44. Elibariki Immanuel Kingu Kisarawe 45. Suleiman O. Kumchaya Tabora 46. Dkt. Charles O. F. Mlingwa Siha 47. Manju Msambya Ikungi (mpya) 48. Omar S. Kwaangw’ Kondoa 49. Venance M. Mwamoto Kibondo 50. Benson Mpesya Kahama 51. Daudi Felix Ntibenda Karatu 52. Ramadhani A. Maneno Kigoma 53. Sauda S. Mtondoo Rufiji 54. Gulamhusein Kifu Mbarali 55. Esterina Kilasi Wanging’ombe (mpya) 56. Subira Mgalu Muheza 57. Martha Umbula Kongwa 58. Rosemary Kirigini Meatu 59. Agness Hokororo Ruangwa 60. Regina Chonjo Nachingwea 61. Ahmed R. Kipozi Bagamoyo 62. Wilson Elisha Nkhambaku Kishapu 63. Amani K. Mwenegoha Bukombe 64. Hafsa M. Mtasiwa Pangani 65. Rosemary Staki Senyamule Ileje 66. Selemani Mzee Selemani Kwimba 67. Lt. Col. Ngemela E. Lubinga Mlele (mpya) 68. Iddi Kimanta Nkasi 69. Muhingo Rweyemamu Handeni 70. Lucy Mayenga Uyui MAJINA 63 WAKUU WA WILAYA WA ZAMANI NA VITUO VYAO VYA KAZI NA. JINA KITUO CHA KAZI 1. James K. O. Millya Longido 2. Mathew S. Sedoyeka Sumbawanga 3. Fatuma L. Kimario Igunga 4. Capt. (Mst.) James C. Yamungu Serengeti 5. Lt. (Mst.) Abdallah A. Kihato Maswa 6. Sarah Dumba Njombe 7. Jowika W. Kasunga Monduli 8. Elizabeth C. Mkwasa Bahi 9. Col. Issa E. Njiku Misenyi 10. John B. Henjewele Tarime 11. Elias W. Lali Ngorongoro 12. Raymond H. Mushi Ilala 13. Francis Miti Ulanga 14. Evarista N. Kalalu Mufindi 15. Mariam S. Lugaila Misungwi 16. Anna J. Magowa Urambo 17. Anatory K. Choya Mbulu 18. Fatma Salum Ally Chamwino 19. Deodatus L. Kinawiro Chunya 20. Ibrahim W. Marwa Nyang’hwale (mpya) 21. Dkt. Norman A. Sigalla Mbeya 22. Moshi M. Chang’a Mkalama (mpya) 23. Jordan M. Rugimbana Kinondoni 24. Georgina E. Bundala Itilima (mpya) 25. Halima M. Kihemba Kibaha 26. Manzie O. Mangochie Geita 27. Abdula S. Lutavi Namtumbo 28. Zipporah L. Pangani Bukoba 29. Dkt. Ibrahim H. Msengi Moshi 30. Col. Cosmas Kayombo Kakonko (mpya) 31. Lembris M. Kipuyo Muleba 32. Elinasi A. Pallangyo Rombo 33. Queen M. Mlozi Singida 34. Juma S. Madaha Ludewa 35. Angelina Mabula Butiama (mpya) 36. Hadija H. Nyembo Uvinza (mpya) 37. Ernest N. Kahindi Nyasa (mpya) 38. Peter T. Kiroya Simanjiro 39. John V. K. Mongella Arusha 40. Baraka M. Konisaga Nyamagana 41. Husna Mwilima Mbogwe (mpya) 42. Sophia E. Mjema Temeke 43. Francis Isaac Chemba (mpya) 44. Abihudi M. Saideya Momba (mpya) 45. Khalid J. Mandia Babati 46. Anna Rose Nyamubi Shinyanga 47. Dani B. Makanga Kasulu 48. Amina J. Masenza Ilemela 49. Mercy E. Silla Mkuranga 50. Christopher R. Kangoye Mpwapwa 51. Lt. Edward O. Lenga Kalambo (mpya) 52. Halima O. Dendego Tanga 53. Lephy B. Gembe Dodoma 54. Saidi A. Amanzi Morogoro 55. Jackson W. Msome Musoma 56. Elias C. B. Goroi Rorya 57. Lt. Col. Benedict Kitenga Kyerwa (mpya) 58. Erasto Sima Bariadi 59. Nurdin H. Babu Mafia 60. Khanifa M. Karamagi Gairo (mpya) 61. Gishuli M. Charles Buhigwe (mpya) 62. Saveli M. Maketta Kaliua (mpya) 63. Darry Rwegasira Karagwe

No comments:

Post a Comment