Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akutana na Wenyeviti wa Halmashauri za Mkoa wa Mtwara
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda akiongea na baadhi ya wenyeviti wa Halmashauri za mkoa wa Mtwara leo mjini Dodoma. Majina ya wenyeviti hawa hayakuweza kupatikana mara moja.
No comments:
Post a Comment