Pamoja na kujadiliana mambo ya maendeleo yetu ya
kusini,hebu tukumbushane mila na desturi zetu,
hivi mnakumbuka hizi ngoma zetu za asili kama vile
Chikundumbwi,Mzobe,Likasaula,Msolopa,Manganje,
Sindimba,Liwayaya,Tomatoma,Masewe,Damba,
Manguvila na nyingine unazozijua wewe,
lini kwa mara ya mwisho umewahi kucheza na kuziona?
na umekumbuka kitu gani?
Karibuni, mkataa kwao..
Hassan Elias
No comments:
Post a Comment