Wana-Newala waishio Dar es Salaam na mikoa ya jirani, mnaombwa kuhudhuria mkutano wa wana-newala ambao umeiitishwa na mbunge wa Newala Mhe. George Mkuchika siku ya Jumapili ya tar 18 Desemba 2011.
Muda: Saa 4 asubuhi
Mahali: Msimbazi Center
Mada: Changamoto zinazoikabili wilaya ya newala
Karibuni wote.
NB: Tangazo limetolewa na Pilila Lawi Sijaona kupitia SEDO facebook page
Jamani wadau wa kusini mnakaribishwa kwenye kikao hicho muhimu. Watu wa Newala mnakaribishwa kwa wingi kwenye kikao hicho. Daima tuwe fahari ya kusini.
ReplyDelete