Wadau wa kusini napenda kuwaarifu kuwa taasisi yetu ya kusini SEDO juzi
tarehe 23 Aug 2011 ilitimiza miaka minane (8) tangu ilipoanzishwa pale kwenye
ukumbi wa Viwanja vya Saba saba kwa Mwl Nyerere Trade Fair. Taarifa hii
haikuweza kuletwa kwenu juzi kutokana na sababu za kiufundi. Tuwe pamoja ili
tuijenge Lindi na Mtwara
Geo Mwambe - Mwenyekiti SEDO
No comments:
Post a Comment