Tuesday, September 20, 2011

Kila siku nimekuwa nikiumia na kufikiri ni lini watu wa Kusini tutakuwa

na uchungu wa kweli  na maendeleo ya nyumbani?

Inashangaza baada ya kuazimia tuwe na chombo chetu cha

mawasiliano, tulitengeneza BLOG ya kusini. Blog imeletwa kwetu

lakini sasa inaonekana hatuitumii. Je, ni lile lile la

watu wa Kusini kutojitambua na kujithamini?

Au sisi ni wageni wa blogs kweli? Tuna Kusini Forum na ChingaOne Blogs

 lakini hatuzitumii ila tunakesha kwa Michuzi, Jamii Forum, nk.

 TUBADILIKE la SIVYO KUBADILISHA KUSINI

itahitaji vizazi maelfu. Nakerwa na udhaifu wetu wana

Kusini kwa kupenda vya wenzetu na kudharau vyetu.

Am sorry to say this!!!! 

 Geoff Mwambe

No comments:

Post a Comment